Hi friends,
Huu utaratibuika wa vyama kuwafukuza wabunge walio chaguliwa na wanainchi, hivi kwa sisi raia wakawaida ambao tunategemea wabunge wapeleke vilio vyetu serikalini, tukimbilie wapi, na sisi mchango wetu katika kuwafikisha viongozi hao katika madaraka waliyo nayo hauna maana kama nguvu ya wanainchi haionekanai.
No comments:
Post a Comment